Picha hizi ni kielelezo cha wazi na dhahiri cha matunda ya juhudi zinazofanywa katika kueneza elimu na maarifa kupitia Madrasat Zainab (SA), inayosimamiwa na Rais wake, Dkt. Ali Taqavi. Tunamuomba Mwenyezi Mungu amlinde, ampe nguvu, afya njema na tawfiq ya kudumu katika kuitumikia Uislamu na Waislamu.

27 Desemba 2025 - 03:49

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Elimu ni msingi na nguzo ya manufaa, heri na wema; humuinua mwanadamu katika daraja za dunia na Akhera, na humwongoza kumuabudu Mwenyezi Mungu kwa uelewa, ufahamu na maarifa sahihi.

Shughuli za Uenezi wa Elimu na Maarifa ya Dini Zinazofanywa na Mabanati Wanaosoma Madrasat Hazrat Zainab (SA) Wakati wa Likizo

Picha hizi ni kielelezo cha wazi na dhahiri cha matunda ya juhudi zinazofanywa katika kueneza elimu na maarifa kupitia Madrasat Zainab (SA), inayosimamiwa na Rais wake, Dkt. Ali Taqavi. Tunamuomba Mwenyezi Mungu amlinde, ampe nguvu, afya njema na tawfiq ya kudumu katika kuitumikia Uislamu na Waislamu.

Shughuli za Uenezi wa Elimu na Maarifa ya Dini Zinazofanywa na Mabanati Wanaosoma Madrasat Hazrat Zainab (SA) Wakati wa Likizo

Your Comment

You are replying to: .
captcha